Have an issue? Contact us 0786733503

Have an issue? Contact us 0786733503

CHAMA CHA MSINGI CHA USHIRIKA ROMBO CHAKUNJUA MAKUCHA,MMOJA ASIMAMISHWA KWA UBADHIRIFU WA FEDHA




BODI ya chama cha  msingi cha ushirika wa kilimo na mazao makiidi maharo amcos kimemsimamisha kazi meneja msaidizi wa chama hicho martha kimario Kwa tuhuma za kuisababishia hasra chama hicho kiasi cha shilingi 985,611
Taarifa hiyo imetolewa na mwenyekiti wa chama hicho Jacobo kimario jana wakati wa mkutano mkuu wa chama hicho ambapo amesema kuwa bi kimario ambaye alikuwa karani na msaidizi wa meneja wa makiidi maharo amcos alisababisha upotevu wa kiasi hicho cha fedha katika mradi wa duka la pembejeo la chama chao
Aidha amesema kuwa ajira yake imesitishwa mnamo tarehe machi 15 ambapo amesema kuwa taratibu nyingine zinafuata
Baadhi ya wananachama wa chama hicho  wamesema kuwa kumsimamisha kazi haitoshi na badala yake wafanye uchunguzi wa kina na ikibainika alifanya kosa hilo alipe fedha zote kwani fedha hizo ni za wanachama wanaouza kahawa zao
Awali akizungumz akatika mkutano huo afisa ushirika wa halmshauri ya wilaya ya Rombo John Kabataamewataka wananchma wa chama hicho kujengwa mtajji wao wa ndani ili kuepukana na hali ya utegemezi kwa kukopa benki na taasisis nyingine za kifedha

Related Posts


EmoticonEmoticon

:)
:(
=(
^_^
:D
=D
=)D
|o|
@@,
;)
:-bd
:-d
:p
:ng
:lv